Posts

NAMNA YA KUFANIKIWA HARAKA.

     <script async src="https://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js?client=ca-pub-5030735873453842"      crossorigin="anonymous"></script>  SHINDA TABIA HIZI ILI UMUONE MUNGU  (a)TABIA YA KUJIHURUMIA HURUMIA Kamwe Hakuna Mafanikio Kwa Watu wanaojihurumia kwenye kufanya mambo,Watu wanaojihurumia hurumia kwenye kumtolea Mungu Kwamba nikitoa Hii Sasa nitaishije,Sasa Nitakula Nini ,Watu wanaojihurumia kwenye Kuwa na Maisha ya Mifungo ,eti nikifunga Sana Si nitakonda , nikifunga mara Kwa mara eti nauchosha Mwili Wangu , Watu wanaojihurumia hurumia kwenye Kuomba Wanaomba kistaha staha   KAMA UNATAKA KUUONA MKONO WA MUNGU KAMWE EPUKA KUWA MTU WA KUJIHURUMIA HURUMIA FANYA MAMBO KWA KUJITOA ,FANYA MAMBO KWA KUJIDHABIHU  (b) TABIA YA KUPENDA USINGIZI Hata Maandiko Yanasema apendaye Usingizi huelekea Umaskini, Usingizi ni adui anayewachelewesha wengi kufikia Hatma zao, eti Wapo Watu wanafuata Ushauri Wa kidaktari Kuwa Mtu ANAPASWA kulala masaa8 K

AINA TATU ZA MAUTI

AINA TATU ZA MAUTI NA NGUVU ILIYOMO NDANI YA HIYO AINA YA MAUTI. Mauti hasa ni Nini? U-Mauti ni Kifo. MAUTI ni hali au kitendo cha mtu kutoka katika uhai kuingia KIFO/KUFA (Mfano wa msemo; Umauti ulimkuta akiwa safarini kuja hapa! (ni kitendo). U-mauti unapo mjia mtu huwa anashindana nao pasipo kujua ki-mwili, wengine huaga wapendwa wao Kwa hali kanakwamba ni fumbo asilolijua hata muagaji anaye aga. KIFO/KUFA ni kutokua na mawasiliano kabisa kati ya mwili na roho, yaani ni hali ya milango ya fahamu kutofanya kazi tena kabisa na kuanza kuharibika, moyo kushindwa kuendelea na kazi yake ya kusukuma damu hivyo mwilini damu huganda na hapo ndipo ulipo mwisho wa uzima wa mwili huu. ( wakati huo roho ya mwanadamu huendelea kuishi ) AINA ZA MAUTI 1.MAUTI YA KWANZA. >Huua mwili (Mwili kuachana na Roho) 2.MAUTI YA PILI. > Roho kuhukumiwa adhabu ya moto. 3.MAUTI YA TATU. >Mtu anaishi/anapumua, ila hampendezi Mungu. somo Lina endeleaaa.........

AINA TATU ZA MAUTI

AINA TATU ZA MAUTI NA NGUVU ILIYOMO NDANI YA HIYO AINA YA MAUTI. Mauti hasa ni Nini? Mauti ni mwili ulio KUFA. MAUTI ni hali au kitendo cha mtu kutoka katika uhai kuingia KIFO/KUFA (Mfano wa msemo; Umauti ulimkuta akiwa safarini kuja hapa! (ni kitendo). U-mauti unapo mjia mtu huwa anashindana nao pasipo kujua ki-mwili, wengine huaga wapendwa wao Kwa hali kanakwamba ni fumbo asilolijua hata muagaji anaye aga. KIFO/KUFA ni kutokua na mawasiliano kabisa kati ya mwili na roho, yaani ni hali ya milango ya fahamu kutofanya kazi tena kabisa na kuanza kuharibika. AINA TATU ZA MAUTI

NABII NI NANI KI-BIBLIA?

 JINSI YA KUWATAMBUA MANABII WA KWELI. Katika somo hili nitaelezea jinsi ya kuwatambua manabii wa kweli wa Mungu kutokana na sifa walizokuwa nazo wakati wa Agano la Kale na Agano Jipya. Ni muhimu kila mkristo aliyeokoka aweze kupambanua (kutofautisha) na kutambua manabii wa kweli na manabii wa uongo. Manabii wa kweli walikuwa na sifa zifuatazo; 1.Walikuwa waaminifu. Hapa tutaangalia manabii watatu ambao ni Yesu, Musa na Samweli ambao walikuwa waaminifu katika mambo yote ya Mungu. Waebrania 3:1-2 “...Yesu aliyekuwa mwaminifu kwake yeye aliyemweka, kama naye Musa alivyokuwa, katika nyumba yote ya Mungu.” Katika andiko hili, Yesu amefananishwa na nabii Musa alivyokuwa mwaminifu. Mwingine ni Samweli, alipokuwa mzee aliwashuhudia wana wa Israel jinsi alivyokuwa mwaminifu tangu akiwa kijana. 1Samweli 12:2-4 “Basi sasa, angalieni, mfalme anakwenda mbele yenu; na mimi ni mzee, mwenye mvi; tena, tazameni, wana wangu wapo pamoja nanyi; nami nimekwenda mbele yenu toka ujana wangu hata leo.

MAOMBI USHTUKAPO NDOTONI

 MAOMBI USHTUKAPO NDOTONI (NDOTO MAJIBU) Unapo-amka usingizini sikuzako zote, usingizi wa ndoto yaani mfurulizo wa matukio wakati umelala kitandani/popote ulipo sinzia, kwanza usinung'unike mbele za Mungu kana kwamba Mungu hakupendi wewe, au ameruhusu ndoto ya namna hiyo ikupate kwanini hilo litokee kwako. Maandiko husema, Ayubu 33 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ¹⁴ Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. ¹⁵ Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ¹⁶ Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Pia neno linazidi kueleza Ninini kusudi la ndoto husika, Ayubu 36 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁹ Ndipo huwaonyesha matendo yao, Na makosa yao, ya kuwa wametenda kwa kujivuna. ¹⁰ Yeye huyafunua masikio yao, wasikie maonyo, Na kuwaagiza warudi kuuacha uovu. ¹¹ Kama wakisikia na kumtumikia, Watapisha siku zao katika kufanikiwa, Na miaka yao katika furaha. ¹² Lakini wasiposikia, wat

NDOTO YANGU

Napata taabu Sana, ndoto yangu niliyoota imenifanya nimekosa raha,nimekosa usingizi,nimekosa hamu ya kula ninatokwa na machozi pekee sina raha Wala amani. Je! Nikweli umekosa amani kwaajili ya ndoto!? Je! Tangu uote ndoto hiyo uliyowahi kuota maisha yamebadirika!? Je! Unaona uadui tangu uote ndoto hiyo? Je! Ni kweli ndoto ile itakua chanzo cha umasikiniwangu!? Je! Kuanguka kiuchumi hivi chanzo ni ile ndoto!? Je! Kifo kile chanzo ni ile ndoto kweli? Je! Mafarakano haya chanzo ni njozi ile!? Je! Nini kimefanya nilie usingizi!? Je! Kuna nini, kuota waliokufa!?  Nimekosa nini niote ndoto mbaya Mimi kila siku!? Ndoto hizi kwanini zinanipa majuto kila siku!? Oooooooooooooh! Kumbe ndoto zinamapana makubwa mnoooo kila mmoja huota ndoto, japo wapo kadhaa wasioota ndoto lakin kunajambo linakua haliko sawa Sana.    Ayubu 33 (Biblia Takatifu) ¹⁴ Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. ¹⁵ Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Ka

NAMNA YA FANYA MAAMUZI YA HEKIMA HASA UKIWA KIJANA.

Image
 NAMNA YA FANYA MAAMUZI YA HEKIMA HASA UKIWA KIJANA (somo na Mwl.Christian Myeya) Joshua 24:15. 15. And if it seem evil unto you to serve the LORD, choose you this day whom ye will serve; whether the gods which your fathers served that were on the other side of the flood, or the gods of the Amorites, in whose land ye dwell: but as for me and my house, we will serve the LORD. Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.       NINA KUOMBEA KWA MUNGU BABA KUPITIA BWANA NA MWOKOZI WETU YESU KRISTO ALIYE HAI UWEZE KUYAELEWA YOTE KWA MAPANA MAKUBWA YA ROHO MTAKATIFU USOMAPO SOMA HILI AMINA. Basi atika  somo letu hili ili kuweza kueleweka kirahisi zaidi nianze na kutoa maana za maneno yaliyoko katika kichwa cha somo hili:- MANENO HAYO YALIYO UNDA SOMO NI, 1.Maamuzi 2.Hekima 3.